HALIMA MDEE ASIMULIA MAMBO 5 MAZITO YA SEGEREA

             Posted by GLOBAL on October 14, 2014 at 4:30am
Stori: Makongoro Oging’

MBUNGE wa Jimbo la Kawe jijini Dar na Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bawacha), Halima James Mdee ambaye aliwekwa Mahabusu ya Gereza la Segerea, Dar kwa saa kumi na mbili amesimulia mambo matano mazito aliyokumbana nayo hali iliyomfanya atokwe machozi.
Mbunge wa Jimbo la Kawe jijini Dar na Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bawacha), Halima James Mdee.
Akizungumza na mwandishi wa…

No comments:

Post a Comment