Mshindi Miss Tanzania kuzoa Sh18 mil

       
Mkurugenzi wa Kampuni ya Lino International Agency, Hashim Lundenga akizungumza na waandishi wa habari, Dar es Salaam jana kuhusu fainali za mashindano ya Urembo ya Redd’s Miss Tanzania 2014 yatakayofanyika jumamosi. Kushoto ni mwakilishi wa Marie Stopes, Anna Shanalingigwa na meneja wa Redd’s, Vicky Kimario. Picha na Venance Nestory
Na Tausi Ally na Imani Makongoro, Mwananchi

No comments:

Post a Comment