NYOTA wa muziki wa Bongo Fleva, Rashid Makwiro ‘Chid Benz’ anadaiwa kumpiga paparazi (wa blogu moja maarufu) kwa madai ya kuwa aliwahi kumpiga picha akiwa mahakamani kipindi alipokamatwa na dawa za kulevya.
‘Chid Benz’ akiwa mahakamani kipindi alipokamatwa na dawa za kulevya.
Tukio hilo lilitokea Jumapili katika Ukumbi wa Maisha Club, jijini Dar, ambapo Kundi la Yamoto Band walikuwa wakizindua wimbo wao mpya wa Itanipwelepweta, Chid Benz naye alikuwepo maeneo hayo na baada ya shoo alifuatwa na baadhi ya mapaparazi kwa ajili ya mahojiano.Akizungumza na gazeti hili paparazi huyo alisema kitendo cha mapaparazi…
No comments:
Post a Comment