MFAHAMU KWA UNDANI ZARINAH MWANAMKE ANAYEZIMA NYOTA YA WEMA SEPETU

Zari alisema umaarufu unamtafuta yeye na sio kwamba yeye anautafuta
JINA la Zari hivi sasa limekuwa jina maarufu katika masikio ya Watanzania, Afrika Mashariki na kwingineko hasa baada ya mwanadada huyo mfanyabiashara na mwanamuziki wa Uganda kuwa na urafiki na Mwanamuziki wa Bongo Fleva, Nassib Abdul maarufu kwa jina la usanii Diamond Platnum.

No comments:

Post a Comment