Mwanamuziki maarufu nchini na sehemu nyingi za
dunia – Diamond Platnumz ambaye aliwahi kuwa mpenzi wa mwanadada Wema Sepetu
ameendelea kuuhakikishia ulimwengu kuwa, mpenzi wake wa sasa ZARI al-maarufu
kama “The boss lady”, ni mama mtarajiwa aliyebeba ujauzito wa msanii huyo nguli
nchini na kwamba hii sio project nyingine.
No comments:
Post a Comment