LUNGI: NIMEFANYA SANA BIASHARA YA KUUZA UNGA

Mwigizaji wa Bongo Muvi, Lungi Maulanga.

Wiki hii katika kolamu yetu hii tunaye Lungi Maulanga, msanii wa filamu Bongo ambaye pia anafanya biashara. Mwandishi Wetu Hamida Hassan alikutana naye maeneo f’lani jijini Dar na kumbana kwa maswali 10 ambayo aliyajibu kwa umakini wa hali ya juu. Tiririka naye…

No comments:

Post a Comment