Shule na Watahiniwa 10 Bora na zilizozorota katika matokeo ya 2014

Shule kumi bora kwa ufaulu ni:-
  1. Kaizirege mkoa wa Kagera
  2. Mwanza Alliance mkoa wa Mwanza
  3. Marian Boys mkoa wa Pwani
  4. St. Francis Girls mkoa wa Mbeya
  5. Abbey mkoa wa Mtwara
  6. Feza Girls mkoa wa Dar es salaam
  7. Bethel sabs Girls mkoa wa Iringa
  8. Marian Girls mkoa wa Pwani
  9. Feza Boys mkoa wa Dar es laam.

Shule 10 za mwisho ni:-
  1. Manolo mkoa wa Tanga
  2. Chokocho mkoa wa Pemba
  3. Kwalugulu mkoa wa Tanga
  4. Relini mkoa wa Dar es salaam
  5. Mashindei mkoa wa Tanga
  6. Njelekela Islamic Seminary mkoa wa Kigoma
  7. Vudee mkoa wa Kilimanjaro
  8. Mnazi mkoa wa Tanga
  9. Ruhembe mkoa wa Morogoro
  10. Magoma mkoa wa Tanga.

Watahiniwa 10 waliofanya vizuri ni:-
  1. Nyakaho Marungu kutoka Baobab Pwani
  2. Elton Sadock Jacob kutoka Feza Boys Dar es salaam
  3. Samwel M Adam kutoka Marian Boys Pwani
  4. Fainess John Mwakisimba kutoka kutoka St Francis Girls Mbeya
  5. Mugisha Reynold Lukambuzi kutoka Bendel Memorial Kilimanjaro
  6. Paul W Jijimya kutoka Marian Boys Pwani
  7. Angel Lundgreen Mcharo kutoka St Francis Girls Mbeya
  8. Atuganile Cairo Jimmy kutoka Canossa
  9. Jenifa Lundgreen Mcharo kutoka St Francis Girls Mbeya
  10. Mahmoud Dadi Bakili kutoka Feza Boys
http://www.wavuti.com/2015/02/shule-na-watahiniwa-10-bora-na.html

No comments:

Post a Comment