Mchungaji wa kanisa analosali msanii wa filamu za Kibongo, Ruth Suka ‘Mainda’ na wenzake lililopo Sinza, Dar, Godwin Mwamposa amekanyaga skendo kufuatia madai ya kumtelekeza mkewe aitwaye Sylvia mwenye mtoto mmoja ambayo imetua kwenye dawati la gazeti hili.
Ndugu wa Sylvia afunguka
Awali, ndugu aliyejitambulisha kuwa anaishi na Sylvia (jina tunalihifadhi kwa sababu maalum) alisema mke wa mchungaji huyo kwa sasa anaishi maisha magumu maeneo ya Buza jijini Dar baada…
No comments:
Post a Comment