WABONGO SAUZI SI SALAMA

INATISHA! Huku Wabongo wengi wakiendelea kukimbilia Afrika Kusini (Sauzi) kwa kigezo cha kutafuta maisha mazuri, imethibitika kwamba hali ya amani nchini humo si salama.

Wahamiaji wakionekana kujiokoa pamoja na watoto wao.
Kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali kutoka nchini humo, Wabongo wengi na wageni wengine kutoka nchi tofautitofauti Afrika kama Zimbabwe, Botswana, Namibia na nchi nyingine wamekuwa wakifanyiwa vitendo vya kikatili na hata kuuawa na wenyeji wa nchi hiyo wakidai wanawakosesha ajira.
“Jamani hali inatisha sana huku, wageni tunauawa sana,…


No comments:

Post a Comment