Sifael Paul
Hatari! Masistaduu wawili kunako gemu la Bongo Movies, Wema Isaac Sepetu na Jacqueline Wolper Massawe, wamejikuta wakipiga ulabu hadi kulewa chakari, kisa kikielezwa kwamba wana msongo wa mawazo, Risasi Jumamosi linafunguka.
Hatari! Masistaduu wawili kunako gemu la Bongo Movies, Wema Isaac Sepetu na Jacqueline Wolper Massawe, wamejikuta wakipiga ulabu hadi kulewa chakari, kisa kikielezwa kwamba wana msongo wa mawazo, Risasi Jumamosi linafunguka.
ENEO LA TUKIO
KINONDONI-MANYANYA
Tukio hilo lililoshuhudiwa
na gazeti hili lilijiri hivi karibuni, usiku mnene kwenye pati ya kuzaliwa
(birthday) ya meneja wa kampuni ya Wema ya Endless Fame almaarufu Petit Man
iliyofanyika kwenye nyumba ya jamaa mmoja maeneo ya Kinondoni-Manyanya jijini
Dar na kuhudhuriwa na mastaa kibao.
No comments:
Post a Comment