Posted Jumatatu,Aprili20 2015 saa 9:18 AM
Kwa ufupi
Licha ya wizi wa vifaa, kumekuwa na wizi mkubwa wa magari Dar es Salaam kiasi kwamba mwaka 2013, magari yaliyoibwa ni 400. Mwaka 2014 yaliibwa 375 na kwa kipindi cha Januari hadi Machi mwaka huu magari 70 yameibwa.
http://www.mwananchi.co.tz/habari/Kitaifa/Wizi-wa-magari-ni-balaa-tupu/-/1597296/2691166/-/ro5i15/-/index.html
http://www.mwananchi.co.tz/habari/Kitaifa/Wizi-wa-magari-ni-balaa-tupu/-/1597296/2691166/-/ro5i15/-/index.html
No comments:
Post a Comment