KAENI CHONJO OFM YATEGA KAMERA KILA KONA YA JIJI!


Mwandishi Wetu

KITENGO maalum cha Oparesheni Fichua Maovu (OFM) cha Global Publishers ambacho kimeendelea kujiimarisha kiutendaji, katika kuhakikisha kinafanya kazi yake ipasavyo, sasa imetega kamera kupitia mapaparazi wake ambao watakuwa wakizunguka kila kona ya Jiji la Dar es Salaam na vitongoji vyake, Risasi Mchanganyiko linakubapa kinaga ubaga.
Padri wa Moshi alipofumaniwa na kitengo maalum cha Oparesheni Fichua Maovu (OFM) cha Global Publishers.
TUJIUNGE NA KAMANDA

Kamanda Mkuu wa OFM (jina linahifadhiwa kwa sababu za…

No comments:

Post a Comment