MVUA ZILIVYOATHIRI DARAJA LA KIVULE JIJINI DAR

Daraja la Kivule lilivyoathiriwa na mvua zinazoendelea kunyesha jijini Dar. Magari yakipita eneo hilo la daraja kwa tabu. Mkondo wa maji yanayopita darajani hapo.
Posted by GLOBAL on May 7, 2015 at 10:00am 0 Comments
Eneo la Stendi Kuu ya Mabasi Bagamoyo lilivyokumbwa na mafuriko ya mvua zinazoendelea kunyesha.
Maji yakitapakaa eneo la Stendi Kuu ya Bagamoyo hivyo kusababisha usafiri na biashara ndogondogo kusitishwa kwa muda.
Gari likiwa limesombwa na mafuriko eneo la Kipunguni Makaburini jijini Dar.…

No comments:

Post a Comment