RUGE WA ESCROW USIPIME!


Waandishi Wetu

LOOH usipime! Yule bilionea aliyezidi kupata jina kwa kutajwa kwenye sakata la fedha za Akaunti ya Tegeta Escrow, James Rugemalira ‘Ruge wa Escrow’, amefanya maadhimisho makubwa aliyoyaita kumbukumbu ya kifo cha mjukuu wake, Isabella Benita Bulengo.
James Rugemalira ‘Ruge wa Escrow’.
Kumbukumbu hiyo ya kuadhimisha miaka mitatu tangu kifo, ilifanyika Aprili 25, mwaka huu nyumbani kwa Bilionea Ruge, Makongo Juu jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na watu kibao, wakubwa kwa wadogo.



KIFO CHA…

No comments:

Post a Comment