WEMA ANABWIA UNGA!

Musa Mateja
PAMOJA na mwenyewe kukanusha kuwa si mtumiaji wa madawa ya kulevya (unga), watu wanazidi kusema eti supastaa wa sinema za Kibongo, Wema Sepetu ‘Madam’ anatumia unga, Risasi Jumamosi limesheheni data.


Supastaa wa sinema za Kibongo, Wema Sepetu ‘Madam’.

No comments:

Post a Comment