MAI AMCHOKONOA LINAH


Gladness Mallya

KATIKA kinachoonekana kama kumchokonoa nyota wa muziki Estalina Sanga ‘Linah’, mtangazaji maarufu Bongo, Maimartha Jesse ‘Mai’ ameunga mkono kitendo cha Wema Sepetu kumchukua mpenzi wa Mbongo Fleva huyo Nangari Kombo.
Mtangazaji maarufu Bongo, Maimartha Jesse ‘Mai’.
Mai aliweka picha ya Wema akiwa na Kombo kwenye ukurasa wake wa Instagram na kumpongeza kwa kumpata ingawa watu mbalimbali walimponda mtangazaji huyo kwa maneno makali wakimlaumu kwa kufurahia mwenzake kuporwa bwana.
Gazeti hili lilipomtafuta na…

No comments:

Post a Comment