MREMBO: DUDE AMENIZALISHA, KANITELEKEZA


Gladness Mallya na Andrew Carlos

Mrembo aliyejitambulisha kwa jina la Ester Eliakim, mkazi wa Kinyerezi, Dar ameibuka na kueleza kwamba alizaa na staa wa filamu Bongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’ ambaye baadaye alimtelekeza yeye na mwanaye Cleopatra (mwenye miezi 11).
Ester akiwa na mtoto aliyezaa na Kulwa Kikumba ‘Dude’.
Akizungumza na paparazi wetu, Ester alisema mara ya kwanza alikutana na Dude katika mchezo wa Bongo Dar es Salaam alikokuwa akicheza kama askari na wakaanzisha uhusiano wa kimapenzi tangu mwaka 2008.
Waliendelea na uhusiano wao wa…

No comments:

Post a Comment