Msikilize Penny alipobanwa kwa maswali kumi na Mwandishi Wetu Imelda Mtema.
Ijumaa: Upo kimya sana shosti, ni nini unachofanya kwa sasa?
Penny: Sasa hivi mimi ni mbunifu wa mpangilio wa nyumba na ofisi ambapo namshauri mtu aiwekeje nyumba yake katika muonekano mzuri wenye mvuto pamoja na ofisi kwa ujumla.
Ijumaa: Mambo ya utangazaji umeachana nayo au una mpango wa kusaka kazi…
No comments:
Post a Comment