Mwamvita Makamba aumbuliwa mchana kweupee na X-bestfriend ake!

Ile nyumba ya kifahari ambayo ilifunguliwa kwa maulid. shambra-shambra, na mbwe mbwe za hali ya juu tukiaminishwa kuwa ni yake kumbe mmmh! Jisomee mwenye hapo chini:

Ujumbe kwa wasichana na wadada wa Kitanzania: Ridhika na ulicho nacho. Msipende kuiga maisha ya IG wengi wanaishi maisha ya kufoji hayana huwalisia wowote. Na wale wadada ambao mnakatishwa tamaa na hizi fake life somo hili hapa! Wanasema ukiona vya elea juwa vimeundwa! Tatizo si kuelea tatizo ni nani aliye viunda?! Sasa nibora ujiundie vyako kwa mikono yako ili uwe na huwakika kuwa muhunzi ni wewe!!

No comments:

Post a Comment