TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI KUTOKA KAMPUNI YA NOFO

Kampuniya NOFO ya jijini Dar es Salaam, inayojihusisha na uchapishaji na uuzaji wa vitabu vya hadithi za watoto, inatangaza nafasi kumi za kazi ya afisa masoko. Wenye sifa zifuatazo watume maombi kupitia baruapepe ndejarini@gmail.com kwenda kwa GENERAL MANAGER, NOFO, DSM

(1)    Shahada ya kwanza au stashahada ya juu ya biashara katika masoko
(2)    Uelewa mzuri na ueledi wa kuimarisha na kupanua wigo wa masoko
(3)    Ari na moyo wa kufikia malengo uliyowekewa
(4)    Uwezo wa kujieleza vizuri mbele ya watu wengi

Mwisho wa kupokelewa kwa maombi ni Alhamisi saa nane mchana tarehe 13 Agosti 2015. Kwa maelezo zaidi piga simu namba 0767-195912/0713195912.

No comments:

Post a Comment