Kasi ya Rais Magufuli Yabaini Vyeti FEKI 219.......Waziri Ataka Hatua Kali za Kisheria Zichukuliwe Dhidi Yao

Kasi ya Mawaziri  wa Rais John Pombe Magufuli kufanya ziara za kushtukiza na kutoa maagizo kwa watendaji imeanza kufumua uozo baada ya jana kubainika kuwa watumishi 219 kati ya 704  wa serikali wameajiriwa kwa vyeti vya kughushi. Sakata hilo liliibuliwa baada ya  Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Angellah Kairuki kutembelea Idara,vitengo ...
Read More

No comments:

Post a Comment