KIGOGO WA BANDARI ASEMA WAKUBWA WANAVYOTAFUNA BANDARI LAKINI SISI NDIO TUNAOPATA


Vigogo na watu wakubwa wenye ushawishi serikalini wakishirikiana na baadhi ya wafanyabiashara wametajwa katika orodha aliyokabidhiwa Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, kama wahusika wakuu wa kupitisha kinyemela makontena takribani 2,780 na kukwepa kodi inayokadiriwa kuzidi Sh bilioni 600.

No comments:

Post a Comment