Papa Francis akiongoza misa ya mkesha wa Christmas ambayo wakristu wote Dunia husherehekea kuzaliwa kwa Yesu Kristu, Misa iliyofanyika Desemba 24, 2015 katika kanisa la Mtakatifu Peter mjini Vatican nchini Italia.
Papa Francis akiongoza misa ya mkesha wa Christmas katika kanisa la mtakatifu Peter mjini Vatican nchini Italia.
No comments:
Post a Comment