Wafanyakazi Tanesco na Wachina Wawili Wafikishwa Mahakamani kwa Tuhuma za Ufisadi

Wafanyakazi wawili wa Tanesco na raia wawili wa China wamefikishwa katika mahakama ya hakimu mkazi mkoa wa Kagera kwa tuhuma za  kutenda makosa kumi na sita na kusababisha hasara ya zaidi ya shilingi bilioni moja. Watuhumiwa kutoka  Tanesco Isaack Tibita na Olver Mushumbusi kwa nyakati tofauti walikuwa mameneja Wilayani Karagwe wanadaiwa kushirikiana na wafanyakazi wa kampuni ya...
Read More

No comments:

Post a Comment