Askofu Pengo: "Muhimbili Panatosha na Nimeridhika Na Huduma Za Hapa, Sioni Haja ya Kwenda Kutibiwa Nje"


Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Katoliki  la Dar es salaam,Muadhama, Kardinali  Pengo amesema kwamba ameridhishwa na huduma za afya zinazotolewa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili(MNH), hivyo itakuwa ni vigumu kwa Serikali kumshawishi kwenda kutibiwa nje ya nchi.

Read More

No comments:

Post a Comment