Stori:Mayasa Mariwata
MSANII wa filamu Bongo, Glasnost Kalinga ‘Gilla’ amejikuta akinusurika kifo wakati alipokuwa akiogelea kwenye ufukwe wa Coco jijini Dar baada ya maji kumzidi kiwango na kuokolewa na wasamaria wema juzi Alhamisi wakati watu wakiwa katika harakati za kuusubiria Mwaka Mpya.
Baada ya kupewa taarifa hiyo, paparazi wetu alimvutia waya Gilla na kufunguka kuwa:
“Sijui leo familia yangu ingeongea nini ingebaki stori tu, tatizo ni kwamba nilijiona mimi ni bingwa wa kuogelea, mzuka uliponipanda, nikaelekea baharini kuoga kwa manjonjo ila maji yalipoongezeka, nikaanza kuzidiwa hivyo kutapatapa kama njia ya kutafuta msaada.
…baada ya kuzinduka
“Sijui leo familia yangu ingeongea nini ingebaki stori tu, tatizo ni kwamba nilijiona mimi ni bingwa wa kuogelea, mzuka uliponipanda, nikaelekea baharini kuoga kwa manjonjo ila maji yalipoongezeka, nikaanza kuzidiwa hivyo kutapatapa kama njia ya kutafuta msaada.
Nawashukuu walioniokoa,” alisema Gilla.
No comments:
Post a Comment