Mapema leo asubuhi, jengo la Wizara ya Mambo ya Ndani jijini Dar es Salaam lilinusurika kuwaka moto baada ya kutokea cheche za umeme ndani ya jengo hilo na kuzua taharuki kwa watu waliokuwemo ndani ya jengo hilo kabla ya Kikosi cha Zimamoto kufanikiwa kuudhiti moto huo.
No comments:
Post a Comment