SERIKALI YATOA TAARIFA YA MWENENDO WA UGONJWA WA KIPINDUPINDU NCHIN

Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Hamis Kigwangalla akitoa tamko kwa umma, kuhusu mwenendo wa ugonjwa wa kipindupindu katika mkutano na waandishi wa habari (hawapo pichani) ofisini kwake jijini Dar es Salaam. Pichani chini kushoto ni Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu katika Wizara ya Afya (Kaimu Mkurugenzi), Michael John.
Mwakilishi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) hapa nchini, Dk Rufaro Chatora (kulia) akifafanua jambo wakati wa mkutano na waandishi wa habari (hawapo pichani) uliofanyika katika ukumbi wa mikutano makao makuu ya wizara hiyo. Kushoto ni Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Hamis Kigwangalla.

No comments:

Post a Comment