Sitochora Tena Tattoo ya Jina la Mpenzi Wangu – Shilole


Shilole ameapa kutorudia tena kuchora tattoo yenye jina la mpenzi wake.


Hivi karibuni muimbaji huyo alilazimika kuifuta tattoo ya jina la aliyekuwa mpenzi wake, Nuh Mziwanda.

No comments:

Post a Comment