TANZIA DMV NA TANZANIA LETICIA NYERERE HATUNAE TENA

Aliyekua Mbunge viti maalum Leticia Nyerere ameaga Dunia leo katika Hospitali ya Doctors Community iliyopo Lan ham, Maryland.  Msiba DMV upo 9004 Brightlea Court, Lanham, MD 20706. Taarifa zaidi baadae R.I.P. mama yetu tulikupenda lakini Mwenyezi Mungu amekupenda zaidi.

No comments:

Post a Comment