
Kwa mujibu wa msemaji wa familia Bw. Prosper Kiswaga madaktari wanategemea kumfanyia uchunguzi mwingine asubuhi hii ya leo kabla ya kutoa taarifa ya nini watakachokifanya kuhusiana na hali ya mgonjwa. Mgonjwa bado yuko katika hospitali ya Memorial Hermann Southwest, 7600 Beechnut St, Houston, TX 77074
Kwa mujibu wa Bw. Kiswaga, madaktari wanashauri kusiwe na mkusanyiko mkubwa wa watu hospitalini hapo hadi hali ya ndugu yetu Andrew itakapotengamaa.
Taarifa zaidi zitawajia kila zitakapopatikana
Ahsanteni
Cassius Pambamaji
Msemaji wa THC
No comments:
Post a Comment