Wamiliki wa silaha watakiwa kuhakiki silaha zao kabla ya Juni 30

Jeshi la Polisi nchini limetoa wito kwa wamiliki wa silahi  kujitokeza na kuhakiki silaha zao katika Wilaya wanazoishi kabla ya kumalizika kwa zoezi hilo mnamo Juni 30 mwaka huu. Hayo yalisemwa na Msemaji wa Jeshi hilo Kamishna Msaidizi Advera Bulimba alipokuwa  akiongea na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam. “Serikali imetoa muda wa miezi mitatu kukamilisha zoezi hili...
Read More

No comments:

Post a Comment