Basi likiteketea
Eneo la tukio.
Basi la abiria mali ya Kampuni ya Tahmed lililokuwa likisafiri kutoka Tanga kuelekea Dar es Salaam limeteketea lote kwa moto leo wakati likipita katika Barabara ya Chalinze-Segera huku chanzo cha moto huo kikiwa hakijajulikana bado.
Abiria wote waliokuwemo ndani ya basi hilo wamenusurika wakati mizigo yao iliyokuwa ndani ya gari hilo ikiteketea pia.
No comments:
Post a Comment