Jeshi la Polisi Laanza Uchunguzi Dhidi Ya Vijana Wanaojiunga na Vikundi Vya Kikaidi Vya Al- Shabaab na IS

JESHI la Polisi nchini, limesema linafanya uchunguzi kubaini baadhi ya vijana wanaojiunga na vikundi vya kigaidi, vikiwamo IS na Al-Shabaab ili wawachukulie hatua za kisheria. Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Mkurugenzi wa Upelelezi wa  Makosa ya Jinai (DCI), Diwani Athuman, alisema wimbi la vijana hao kujiunga na makundi hayo yanayopigwa vita duniani kote, linatokana...
Read More

No comments:

Post a Comment