Kutoka kushoto ni Dk Michael Valentine kutoka Marekani, Dk Godwin Sharau wa JKCI-Muhimbili, Mama wa mtoto huyo, Elitruda Eligi Malley na Dk Anjelan Muhozya wakifuatilia afya ya mtoto, Happiness John Josephat baada ya kufanyiwa upasuaji wa moyo katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI).
Baadhi ya madaktari wakifuatilia maendeleo ya mtoto, Happiness John Josephat kwenye chumba cha wagonjwa wanaohitaji uangalizi maalumu baada ya kufanyiwa upasuaji wa moyo katika taasisi hiyo.
No comments:
Post a Comment