Kituo cha Foreplan Clinic cha Tabib Mwaka Chafutiwa Usajili
Serikali imekifungia kituo cha tiba asilia cha Foreplan kinachomilikiwa na Juma Mwaka kwa kukiuka masharti ya kibali alichopewa kujitangaza kuwa anatoa tiba za kisasa badala ya matibabu ya asilia.
No comments:
Post a Comment