WINFRIDA NGONYANI -DAR ES SALAAM NA ELIYA MBONEA, ARUSHA
MKE wa Mtanzania aliyeng’ara katika michuano ya Olimpiki, Alphonce Simbu, Rehema Daudi, amefunguka na kusema kuwa ushindi wa mumewe huyo ambaye anaendesha maisha yake kwa kukimbia umetokana na juhudi zake binafsi na sapoti kubwa aliyoipata kutoka Chama cha Riadha Tanzania (RT).
Rehema mwenye umri wa miaka 22 na mtoto wa miezi nane, ameeleza kuwa anamsubiria kwa hamu mumewe huyo ambaye ameitoa kimasomaso Tanzania baada ya kushika nafasi ya tano katika mashindano ya mbio ndefu kilomita 42 (marathon) yaliyofanyika jijini Rio De Janeiro Brazil, ambapo Mkenya, Eliud Kipchoge, alishinda mbio hizo na kutwaa medali ya dhahabu.
MKE wa Mtanzania aliyeng’ara katika michuano ya Olimpiki, Alphonce Simbu, Rehema Daudi, amefunguka na kusema kuwa ushindi wa mumewe huyo ambaye anaendesha maisha yake kwa kukimbia umetokana na juhudi zake binafsi na sapoti kubwa aliyoipata kutoka Chama cha Riadha Tanzania (RT).
Rehema mwenye umri wa miaka 22 na mtoto wa miezi nane, ameeleza kuwa anamsubiria kwa hamu mumewe huyo ambaye ameitoa kimasomaso Tanzania baada ya kushika nafasi ya tano katika mashindano ya mbio ndefu kilomita 42 (marathon) yaliyofanyika jijini Rio De Janeiro Brazil, ambapo Mkenya, Eliud Kipchoge, alishinda mbio hizo na kutwaa medali ya dhahabu.
No comments:
Post a Comment