MKUU WA JESHI LA POLISI NCHINI IGP ERNEST MANGU AONGOZA MATEMBEZI YA PAMOJA YA MAOFISA NA ASKARI WA VYEO MBALIMBALI


     Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Ernest Mangu (wapili kushoto) akiwaongoza maofisa na askari wa vyeo mbalimbali wa jeshi la Polisi wakati wa matembezi ya pamoja ya kuimarisha afya na kujenga ushirikiano mahala pakazi katika mkoa wa kipolisi kinondoni mapema leo asubuhi. Kushoto kwake  ni kamanda wa Polisi mkoa wa Kinondoni Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Suzan Kaganda.
Baada ya mori kupanda mchakamchaka ukaanza
 Mchakamchaka na nyimbo za hamasa

No comments:

Post a Comment