TABATA KIMANGA JIJINI DAR ES SALAAM WAOMBA KUONDOLEWA TAKATAKA BARABARANI



 Mchuuzi wa mbogamboga akipita karibu na takataka zilizoachwa bila ya kuondolewa jirani na kituo cha daladala cha Tabata Kimanga mwisho Manispaa ya Ilala, jijini Dar es Salaam.
Mwendesha bodaboda akizikwepa takataka zilizoachwa bila ya kuondolewa jirani na stendi ya daladala ya Tabata Kimanga mwisho jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment