Shule hiyo yenye zaidi ya wanafunzi 600 wanaosoma kuanzia darasa la kwanza hadi la saba ina vyumba viwili vya madarasa.
Akizungumza na gazeti hili, diwani wa Ikola, Philiomon Moro alikiri kuwa shule hiyo inakabiliwa na uhaba wa vyumba vya madarasa. Alisema vyumba vipo viwili hivyo walimu wanalazimika kufundisha wanafunzi wakiwa wameketi chini ya miembe.
No comments:
Post a Comment