Ni rahisi tu, fanya yafuatayo:
1. Bishia nauli uliyotozwa kuwa si halali. mfano kama unakokwenda ni Dar-Mafinga, nauli inapaswa kuwa 20,000 wewe ukatozwa Dar-Njombe 25,000, bishia. Kondakta akikataa lipa, ingia kwenye gari.
2. Atakupa tiketi imeandikwa Dar-Mafinga 25,000 au atakupa tiketi imeandikwa Dar-Njombe 30,000. Pokea

No comments:
Post a Comment