WANANCHI WAJERUHIWA KATIKA AJALI ILIYOHUSISHA MAGARI MANNE KONGOWE TEMEKE JIJINI DAR ES SALAAM LEO MCHANA

 Wananchi wakiangalia ajali iliyohusisha magari manne na pikipiki iliyotokea daraja la Mzinga Kongowe, Temeke jijini Dar es Salaam leo mchana. Katika ajali hiyo watu kadhaa walijeruhiwa.
 Wananchi wakiangali basi dogo aina ya Coster ya abiria namba T 415 DCC ikiwa imeharibika vibaya baada ya kugongwa.

No comments:

Post a Comment