Msanii kutoka Nigeria, Yemi Alade (kushoto) , akisalimiana na msanii Snura Mushi alipokuwa amewasili ukumbi wa mikutano wa Kampuni ya Simu ya Tigo kuzungumza na wanahabari wakati akijitambulisha kwao Dar es Salaam leo jioni, kuhusu uwepo wake kwenye hitimisho la Tamasha la Fiesta litakalofanyika kesho viwanja vya Leaders jijini Dar es Salaam.
Mratibu wa Tamasha la Fiesta, Sebastian Maganga (kulia), akizungumza wakati wa kuwatambulisha wasanii wa hapa nchini na kutoka Nigeria ambao watatoa burudani kesho katika viwanja vya Leaders.
Msanii kutoka Nigeria, Yemi Alade (kulia) , akizungumza katika mkutano wa kujitambulisha kwa waandishi wa habari Dar es Salaam leo jioni, kuhusu uwepo wake kwenye hitimisho la Tamasha la Fiesta litakalofanyika kesho viwanja vya Leaders jijini Dar es Salaam. Kushoto ni msanii mwenzake, Tecnomile na katikati ni msanii Snura Mushi.
No comments:
Post a Comment