Wanafunzi Wapingwa Mabomu ya Machozi Wakati Wakiandamana Kupinga Mwalimu Wao Kuhamishwa

Jeshi la Polisi katika Wilaya ya Bariadi mkoani  Simiyu, jana liliwapiga mabomu ya machozi wanafunzi wa Shule ya Sekondari Bariadi waliokuwa wakiandamana kupinga Mkuu wa Shule yao, Deus Toga, kuhamishwa. Wakati wa maandamano hayo yaliyofanyika saa 6.00 mchana wanafunzi hao wapatao 600, walifunga barabara kuu ya Bariadi – Lamadi. Pia, shughuli mbalimbali za  jamii mjini Bariadi zilisimama...
Read More

No comments:

Post a Comment