Breaking: Mkuu wa Mkoa Meck Sadiki na Majaji wawili Waandika barua kuacha kazi .......Rais Magufuli Aridhia

Ikulu, Dar es Salaam. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Dkt. John Pombe Magufuli ameridhia maombi ya kuacha kazi kwa viongozi wafuatao; 1. Ndg. Saidi Meck Sadiki - Aliyekuwa mkuu Wa Mkoa wa Kilimanjaro. 2. Ndg. Aloysius Kibuuka Mujulizi - Aliyekuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania na Mwenyekiti wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania. 3. Ndg. Upendo Hillary Msuya - Aliyekuwa...
Read More

No comments:

Post a Comment