POLISI KILIMANJARO YANASA KILOGRAMU 520 ZA MIRUNGI

Mtuhumiwa wa usafirishaji wa Dawa za kulevya aina ya Mirungi akiwa kwenye gari la Polisi ba Viroba vilivyojaa Dawa hizo zilizokamatwa katika moja Bonde mpakani mwa Kenya na Tanzania.
Asakari Polisi wakishusha viroba vyenye Dawa za Kulevya aina ya Mirungi.
Mtuhumiwa wa usafirishaji wa Dawa za kulevya aina ya Mirungi,Samwel Muro mkazi wa Kitobo nchini Kenya akiwa chini yaulinzi na pemebeni ake ni Vifurushi vya Mirungu alivyokutwa navyo.

No comments:

Post a Comment