BABA DIAMOND AMSAKA WEMA


Stori: Musa Mateja na Gladness Mallya
Baada ya Wema Isaac Sepetu ‘Beautful Onyinye’ kummwaga mwanaye, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, baba mzazi wa jamaa huyo, Abdul Jumaa ‘Baba Diamond’, amenaswa akimsaka mrembo huyo ili kujua mbichi na mbivu.
Baba mzazi wa Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’akigonga getini kwa Wema.
‘UBUYU’ KUTOKA KWA CHANZO

Kwa mujibu wa chanzo makini, baada ya kusikia habari za mwanaye kumwagwa na Wema aliumia roho kwani anamkubali Wema kuliko warembo wengine wote ambao…

No comments:

Post a Comment