KANGA MOKO KAMA KAWA


Stori: Erick Evarist na Musa Mateja

MIEZI michache kufuatia tamko la serikali kuzuia ngoma zinazokesha maarafu kama Kanga Moko kwa kukiuka maadili, imebainika kuwa ngoma hizo zinaendelea kufanya mambo kama kawa kana kwamba hazijakatazwa, Ijumaa limeshuhudia.
Baadhi ya wadada wakicheza ngoma ya kibao kata wakiwa ndani ya kanga moja.
Uchunguzi uliofanywa na gazeti hili juzikati umebaini kuwa ngoma hizo ambazo wanawake hucheza wakiwa ndani ya…

No comments:

Post a Comment