KESI YA LULU YAWEKWA KIPORO


Stori: Musa Mateja

KESI ya kuua bila kukusudia inayomkabili mtoto mzuri wa Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ imewekwa kiporo kufuatia kuwepo kwa kesi nyingi za mauaji mahakamani, Risasi Mchanganyiko limetonywa.
Mtoto mzuri wa Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’.
Kwa mujibu wa chanzo makini, kuna uwezekano mkubwa wa kesi hiyo kusikilizwa tena Februari mwakani kutokana na mlolongo mkubwa wa kesi za mauaji zilizopo Mahakama Kuu ya Tanzania.
Chanzo hicho ambacho kipo ndani ya kamati ya…

No comments:

Post a Comment