Asia Kinjenga (kulia) akiwa na nyuso ya furaha pamoja na mwenzie Felician Francis baada ya kumaliza digrii ya elimu ya jamii katika sosholojia wakati wa mahafali ya 48 ya chuo kikuu cha Dar es salaam hivi karibuni.
Asia Kinjenga (wa pili kulia) akiwa na wahitimu wenzie wa mahafali ya 48 katika chuo kikuu cha Dar es salaam.
http://www.tanzaniatoday.co.tz/
No comments:
Post a Comment